Posts

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akikaribishwa rasmi nyumbani kwao Mkoa wa Ruvuma kwa kufanyiwa kimila na machifu pamoja na wazee wa  jadi alipofika eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa wa Vita vya Maji Maji mjini Songea Aprili 20, 2024. Katika ziara hiyo, Dkt. Nchimbi  ameambatana na wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu.  Kiongozi huyo mtendaji mkuu wa CCM, atakuwa mkoani Ruvuma ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya siku 10 katika mikoa ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha uhai wa chama, kutatua kero za wananchi, kuelezea maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani, kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya chama hicho. Baada ya kumaliza katika mikoa ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya na Njombe, ziara hiyo ya siku 10 yenye mafaniki

DKT NCHIMBI APOKELEWA RASMI MKOANI RUVUMA

NMB PESA AKAUNTI YAWAVUTIA WAKAGUZI WA NDANI AFRIKA

BALOZI NCHIMBI: MIAKA 3 YA RAIS SAMIA, KAMA MIUJIZA

DKT NCHIMBI AMPONGEZA MBUNGE WA MADABA DKT MHAGAMA KUKABIDHI MALI ZAKE KWA CCM

DKT NCHIMBI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA SIASA NJOMBE

MATUKIO YA RAIS SAMIA UTURUKI

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA