KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI

  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea
na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni 
ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya 
michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto)
Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na
mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu 
huku akishuhudiwa na mkaguzi kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw Humudi 
Abdulhussein (kuhoto), wakati wa kuchezesha droo ya 10 ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI