Kampuni ya Bima ya Jubilee Yamkabidhi Spika wa Bunge Anne Makinda Kadi Maalum ya Bima ya Afya Atakayoitumia Kwa Ajili ya Matibabu
Mtendaji Mkuu wa Kambuni ya Bima ya Jubilee Ndg. George Alande akimkabidhi Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda kadi Maalum ya Bima ya Afya atakayoitumia kwa ajili ya matibabu baada ya Ofisi ya Bunge kujiunga na kampuni ya Jubilee Insuarnce kwa ajili ya Bima ya matibabu ya Wabunge wote. Anaeshuhudia katikati ni Ndg. Peter Nyabuti kutoka kambuni ya ushauri wa Bima ya Astra Insurance Brokers.
Mtendaji Mkuu wa Kambuni ya Bima ya Jubilee Ndg. George Alande akimkabidhi Mhe. william Lukuvu kadi Maalum ya Bima ya Afya atakayoitumia kwa ajili ya matibabu baada ya Ofisi ya Bunge kujiunga na kampuni ya Jubilee Insuarnce kwa ajili ya Bima ya matibabu ya Wabunge wote. Anaeshuhudia katikati ni Ndg. Peter Nyabuti kutoka kambuni ya ushauri wa Bima ya Astra Insurance Brokers.
Comments