KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJISAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.
Mkurugenzi
wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas
Shirima akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana
kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa
katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizika Machi 7, mwakani (2015).
Mradi huo mpaka unakamilika utagharimu kiasi cha fedha shilingi Bilioni
30.Pamooja na kutembelea mradii wa maji safi,Kinana pia alitembelea
mradi wa maji taka wilayani humo mapema leo.Ndugu Kinana anamaliza zaira
yake leo ya siku sita mkoani Rukwa.
Sehemu
ya eneo hilo ambapo litajengwa tanki la lita milioni moja za maji safi
na kusambazwa Wilaya ya sumbawanga na vijiji mbalimbali mkoani Rukwa.
Mkurugenzi
wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas
Shirima akimuelekea jambo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuhusu
ujenzi wa eneo la kisima cha kuchujia maji safi na hatimaye kuyapeleka
kwenye matanki na baadaye kusambazwa sehemu mbalimbali za wananchi
mkoani Rukwa.
Comments