Muasisi
wa TANU Mzee Masoud Mwinyi Chande akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana kwenye mnara wa kumbukumbu ya eneo alilofanyia
mikutano na nyumba alikofikia na kulala, Baba wa taifa Mwalimu Nyerere,
katika eneo la Ujiji, wakati wa harakati za kudai Uhuru wa Tanzania,
Kinana alipotembelea eneo hilo, leo mwishoni mwa ziara yake ya siku tano
mkoani Kigoma, kukagua uhai wa Chama na Utekelezaji wa ilani ya Chama. (FS)
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments