LUPITA NYONG’O AMUANIKA KINYOZI WAKE.


Lupita Nyong’o
Mshindi pekee wa tuzo za Oscar kutoka barani Africa na balozi wa vipodozi vya Lancome, muigizaji raia wa Kenya  ‘Lupita Nyong’o’ amemwanika mtu anayependezesha kichwa chake na kumfanya awe na staili ya kipekee kama vile wafanyavyo mastaa wengine wakubwa.
Staa huyo wa filamu ya 12 Years a slave aliposti picha kwenye ukurasa wake rasmi wa Instagram akiwa na kinyozi wake na kuandika ujumbe uliokuwa ukimsifia..”Anybody can cut hair off, but a barber knows when and where to stop. @MrBarberJ  #shoutout #tbt#brooklyn style enhancing my smile”. Aliandika Lupita
Lupita hair stylish

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*