Waumini wa Dini ya Kikristo wa Kainisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mtaa wa Kivule, wakiwa katika ibada ya Sikukuu ya kufufuka Yesu Kristo leo katika kanisa hilo lililopo Kivule, Ilala, Dar es Salaam.
Waumini wakisali wakati wa Ibada ya kufufuka kwa Yesu Kristo ya Pasaka katika Kanisa la KKKT Mtaa wa Kivule, Ukonga. Dar es Salaam.
Wumini wa Kanisa la KKT Kivule, Dar es Salaam, wakiytoka baada ya kuhudhuria Ibada ya Pasaka leo
Familia ya Kamanda Richard Mwaikenda ikiwa nyumbani kwao Kivule Forest baada ya kutoka kanisani leo
Watoto pacha wa Kamanda Richard Mwaikenda, Dotto (kushoto) na Kulwa wakiwa wameshikilia juisi tayari kuifaidi wakati wa hafla ya sikukuu ya Pasaka leo
Kulwa akinyweshwa juisi na dadake Ezelina.
f
Waumini wakisali wakati wa Ibada ya kufufuka kwa Yesu Kristo ya Pasaka katika Kanisa la KKKT Mtaa wa Kivule, Ukonga. Dar es Salaam.
Familia ya Kamanda Richard Mwaikenda ikiwa nyumbani kwao Kivule Forest baada ya kutoka kanisani leo
Watoto pacha wa Kamanda Richard Mwaikenda, Dotto (kushoto) na Kulwa wakiwa wameshikilia juisi tayari kuifaidi wakati wa hafla ya sikukuu ya Pasaka leo
f
Comments