NEWS ALERT: MAKAMU WA RAISI, DKT BILAL, KAMANDA SULEMANI KOVA NA WAZIRI JOHN POMBE MAGUFULI WANUSURIKA KUFA MUDA MFUPI ULIOPITA
Makamu
wa Rais Dk Gharibu Bilal, Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar Es Salaam,
Sulemani Kova na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli wamenusurika
kufa mara baada ya helikopta ya jeshi waliyokuwa wakitumia kwaajili ya
kuzunguka kujionea athari ya mafuriko iliyosababishwa na mvua kubwa
zinazoendelea kunyesha jijini Dar Kuanguka katika Uwanja wa ndege wa
jeshi uliopo jijini Dar Es Salaam.
Tutaendelea kutafuta habari hii na tutawajuza kadri taarifa zinavyotufikia
Comments