PICHA KUTOKA CCM:JIONEE MWENYEWE JINSI KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMNA KINANA ALIVYOTIKISA JIJI LA DAR
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar
es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya
Mwembeyanga.
Wananchi waliohudhuria mkutano huo, uliofanyika juzi, kumpongeza Rais
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.
Kinana akionyesha kadi ya Chadema aliyokabidhiwa na Ramadhan (kushoto).
Comments