PICHA MBALIMBALI KUTOKA KAMPENI ZA CCM CHALINZE: ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE KUFIKIA UCHAGUZI WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM CHALINZE

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Lugoba waliofurika kwenye uwanja wa Mnadani,kusikiliza sera ya Mgombea Ubunge huyo April 2,2014.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kijiji cha Lugoba na kuwaambia Ridhiwani ni kijana anayehifahamu vizuri Chalinze na changamoto zake .
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimnadi Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Lugoba.
 Mamia ya wakazi wa kijiji cha  Lugoba wakimsikiliza mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze CCM  Ndugu Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni.
 Mbunge wa Shinyanga Mjini Ndugu Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa madini akihutubia wakazi wa kijiji cha Lugoba wakati wa kampeni za ubunge CCM jimbo la Chalinze.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI