PICHA RASMI KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA:KAMAZI ZA BUNGE MAALUM ZAWASILISHA MAONI YA SURA YA KWANZA NA SITA YA RASIMU YA KATIBA MPYA BUNGENI MJINI DODOMA
Makamu
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samia Suluhu Hassan akiwasili
katika Ukumbi wa Bunge tayari kwa ajili ya kuongoza kikao cha Bunge hilo
jana mjini Dodoma.
Msemaji
wa walio wachache wa Kamati namba kumi (10) Profesa Ibrahim Lipumba,
akiwasilisha maoni ya wachache kuhusu sura ya kwanza na sita ya Katiba
mpya jana mjini Dodoma.
Makamu
Mwenyekiti wa Kamati namba kumi (10) Salmin Awadh Salmin, akiwasilisha
uchambuzi wa Kamati yake wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba
mpya jana mjini Dodoma.
Mwenyekiti
wa Kamati namba moja Ummy Ally Mwalimu akiwasilisha uchambuzi wa Kamati
yake wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya jana mjini
Dodoma.
Baaadhi ya wa wajumbe wa bunge maaalum la katiba wakiwa wamesimama kwa nyakati tofauti wakimkatiza Mwenyekiti wa Kamati namba moja Ummy Ally Mwalimu,wakimtaka mwenyekiti wa bunge amtake Ummy mwalimu kusoma mapendekezo ya kamati badala ya kuwasilisha kwa mfumo wa kutosoma
Baaadhi ya wa wajumbe wa bunge maaalum la katiba wakiwa wamesimama kwa nyakati tofauti wakimkatiza Mwenyekiti wa Kamati namba moja Ummy Ally Mwalimu,wakimtaka mwenyekiti wa bunge amtake Ummy mwalimu kusoma mapendekezo ya kamati badala ya kuwasilisha kwa mfumo wa kutosoma
Makamu
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samia Suluhu Hassan akiwasili
katika Ukumbi wa Bunge tayari kwa ajili ya kuongoza kikao cha Bunge hilo jana mjini Dodoma. Picha na Bunge la Katiba Maalum
Comments