Mke wa Rais Mama Salma Kkwete
akiongea na ujumbe kutoka AMREF mara baada ya kumkabidhiwa tuzo ya
“Stand up for African Mothers” tarehe 11.4.2014.
Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama
Salma Kikwete akipokea tuzo ya kushawishi wake wa Marais wa Afrika
katika kutetea haki za wanawake na watoto ili kupunguza vifo vya akina
mama na watoto “ Stand Up for African Mothers”. Anayekabidhi tuzo hiyo
ni Mkurugenzi Mkazi wa AMREF hapa nchini Dr. Festus Ilako. Sherehe hiyo
ilifanyika kwenye ofisi za WAMA tarehe 11.4.2014.
Comments