Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Balozi wa Canada nchini,Mh. Alexandre Leveque ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Canada
nchini,Mh.Alexandre Leveque ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund Balozi
Ami Mpungwe baada ya kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar es Salam
leo.(picha na Freddy Maro).
Comments