RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 30 YA KIFO CHA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE WILAYANI MONDULI
Rais
wa Jamhuri wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameketi na
wajane wa hayati Edward Moringe Sokoine pamoja na baadhi ya viongozi wa
kitaifa katika misa ya kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha Sokoine.
Mhe. Rais akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine.
Rais
Mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamini William Mkapa akiweka shada la
maua katika kaburi la aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania hayati Edward
Moringe Sokoine.
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Dkt. Salim Ahmed Salim nae akiweka shada la maua.
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowasa nae akiweka shada.
Spika
wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiweka shada la maua katika kaburi la
aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine.
Comments