Aliyekuwa mgombea ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Bagamoyo, mkoani Pwani, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Ridhiwani Kikwete (anayecheka pichani) ameibuka kidedea kwa kuwabwaga kwa mbali wagombea wa vyama vingine.
Ridhiwani ameshinda kwa jumla ya kura 20,812 sawa na asilimia 86.53, wakati Chadema imepata kura 2,628, sawa na asilimia 10.92, CUF kura 473 sawa na asilimia 1.96, NRA kura 59 sawa na asilimia 0.24, AFP kura78 sawa na asilimia 1.32.Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 24,050.
CCM imeshinda katika kata zote 15 za jimbo hilo la Chalinze.
Ridhiwani ameshinda kwa jumla ya kura 20,812 sawa na asilimia 86.53, wakati Chadema imepata kura 2,628, sawa na asilimia 10.92, CUF kura 473 sawa na asilimia 1.96, NRA kura 59 sawa na asilimia 0.24, AFP kura78 sawa na asilimia 1.32.Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 24,050.
CCM imeshinda katika kata zote 15 za jimbo hilo la Chalinze.
Comments