SINGLE MTAMBALIKE, MONALISA, KUPA NA KALALA JUNIOR WATIKISA NDANI YA STUDIO ZA RASI FM 103.7 NDANI YA DODOMA
Bango lililopo kwenye ofisi za redio ya Rasi Fm zilizopo Mkoani Dodoma
Muigizaji
Maarufu wa Filamu za Kitanzania, Single Mtambalike aka Rich Rich akiwa
ndani ya studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma wakati wasanii hao
walipotembelea redio hiyo hapo jana kwaajili ya kujionea kazi
zinazofanywa na kituoo hiko cha Redio cha Rasi Fm ambacho kinapatikana
kwenye masafa ya 103.7 FM katika kanda ya Kati.
Yvonne
Cherry Almaarufu Kama Monalisa akiwa ndani ya Studio za Rasi Fm wakati
alipotembelea studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma
Kalala
Junior akiwa katika picha ya pamoja na Mmoja wa wafanyakazi wa Kituo
hicho cha Redio cha Rasi FM kinachopatikana katika masafa ya 103.7 Fm na
redio hiyo inapatikana kanda ya kati
Kupa akiwa katika studio hiyo ya Rasi FM wakati walipotembelea kituo hiko hapo jana
Wakiwa
katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya wafanyakazi wa kituo hiko cha RASI
FM 103.7 FM mara baada ya kumaliza mahojiano wakati walipotembelea kituo
hiko cha redio hapo jana
Comments