SINGLE MTAMBALIKE, MONALISA, KUPA NA KALALA JUNIOR WATIKISA NDANI YA STUDIO ZA RASI FM 103.7 NDANI YA DODOMA


 Bango lililopo kwenye ofisi za redio ya Rasi Fm zilizopo Mkoani Dodoma
 Muigizaji Maarufu wa Filamu za Kitanzania, Single Mtambalike aka Rich Rich akiwa ndani ya studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma wakati wasanii hao walipotembelea redio hiyo hapo jana kwaajili ya kujionea kazi zinazofanywa na kituoo hiko cha Redio cha Rasi Fm ambacho kinapatikana kwenye masafa ya 103.7 FM katika kanda ya Kati.
 Yvonne Cherry Almaarufu Kama Monalisa akiwa ndani ya Studio za Rasi Fm wakati alipotembelea studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma
 Kalala Junior akiwa katika picha ya pamoja na Mmoja wa wafanyakazi wa Kituo hicho cha Redio cha Rasi FM kinachopatikana katika masafa ya 103.7 Fm na redio hiyo inapatikana kanda ya kati
 Kupa akiwa katika studio hiyo ya Rasi FM wakati walipotembelea kituo hiko hapo jana
Wakiwa katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya wafanyakazi wa kituo hiko cha RASI FM 103.7 FM mara baada ya kumaliza mahojiano wakati walipotembelea kituo hiko cha redio hapo jana

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.