SOMA TAARIFA KWA UMMA KUTOKA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA(TANAPA):WATALII MABILIONEA WA MAREKANI WAMALIZA ZIARA SERENGETI

Watalii Mabilionea 42 kutoka Marekani wamemaliza  ziara yao ya utalii ya siku nne katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuelezea kufurahishwa kwao na uzuri wa hifadhi pamoja na maajabu ya wanyama mbalimbali wanaopatikana Serengeti ikiwemo msafara maarufu wa wanyama wahamao aina ya nyumbu.

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu alipata fursa ya kuwaaga watalii hao walipokuwa wakiondoka nchini kuendelea na ziara ya utalii katika nchi nyingine za Afrika wakitumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q inayomilikiwa na Kampuni ya Utalii ya Abercrombie  & Kent ya nchini Marekani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.