TAARIFA YA UHAMISHO WA OFISI ZA KIJIWE CHA WASOMI


Habarini Bloggers, Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa taarifa kuwa Blog ya Kijiwe Cha Wasomi iliyokuwa na makazi yake Wilayani Bahi katika mkoa wa Dodoma, sasa itahamia Mtwara mjini.

(Gas City). Hii ni kutokana na majukumu mengine ya kitaifa yanayofanywa na mwongozaji wa blog hii. Bado hatujajua ni eneo gani tutaweka ofisi zetu mkoani Mtwara, lakini nitawataarifu mara baada ya kukamilisha taratibu zote.
Pamoja na mabadiliko haya, utendaji wa blog hauta athiriwa.
Karibuni sana Gas City.

Elly Marimbocho,

Admin Kijiwe Cha Wasomi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI