Tazama Picha Mbalimbali Za Wajumbe Wa Bunge Maalum La Katiba Wakiwa Kwenye Kamati Mbalimbali Leo mjini Dodoma
Mwenyekiti
wa Kamati namba tano(5) ya Bunge Maalum la Katiba Hamad Rashid Mohamed
(katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati
wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti
wa Kamati namba kumi(10) ya Bunge Maalum la Katiba Paul Kimiti
(katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati
wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti
wa Kamati namba kumi na moja(11) Anna Kilango akiongea na waandishi wa
habari juu ya mambo yaliyojitokeza katika kikao cha Kamati hiyo wakati
wanapitia rasimu ya Katiba mpya.
Mjumbe
wa Bunge Maalum la Katiba Salehe Nassoro Juma akitoa mchango wake leo
mjini Dodoma kuhusu muundo wa muungano wakati wa kikao cha Kamati namba
nne (4) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba
mpya.
Comments