TBL YAIBKA MSHINDI WA PILI TUZO YA WAZALISHAJI BORA 2013


href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwx2KiBIjmwrYqRPtWqkCZ6DSv-zTZ9Hc81T3yBMDbt-N786zX9cuHHEjJCSaF2Hyo_PiZ3jV3VyHY1P3aXYWgWZGTcb8_tIiW534dObvTeWxQ2xr2ExB9T24wBa15aDzZURsVcS10jONx/s1600/TBL_01.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe  kwa mshindi wa pili wa tuzo wa mzalishaji bora wa mwaka 2013, kwa  Mkurugenzi wa Huduma ya Makampuni na Masuala ya Sheria wa kampuni ya Bia ya TBL, Stephen  Kilindo wakati wa hafla ya makabidhiano ya tuzo hizo yalifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni Mwenyekiti wa Chama Cha Wenye Viwanda Tanzania (CTI), Dk. Samwel Nyantahe ( wa pili kulia)  wakati wa kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CTI, Dk. Reginald Mengi ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa  makampuni ya IPP ambayo ilikuwa mdhamini mkuu wa hafla hiyo.
Rais  Jakaya Kikwete akipiga picha na Watendaji Wakuu wa kampuni ya Bia TBL mara baada ya kuwakanidhi tuzo ya  mzalishaji bora wa mwaka 2013 inayotolewa na CTI.
 Watendaji wakuu wa TBL wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa tuzo ya mzalishaji bora wa mwaka 2013 inayotolewa na CTI.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU