VIJANA WA KAZI KUTOKA TIMU NZIMA YA TANZANIA MOVIE TALENTS WAKIJIANDAA TAYARI KWA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI LA KUIGIZA LINALOANZA KESHO JIJINI MWANZA
D.O.P
wa mradi wa Shindano la kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania
lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Sabri (kushoto) akiwa na
kijana wake wa kazi wakijaribu moja ya kamera ambayo itatumika katika
kazi nzima ya kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania.
Kamera
man wakiwa tayari kwenda kujaribu vifaa vyao vya kazi kabla mpango
mzima haujaanza katika kusaka vipaji vya kuigiza nchini shindano
lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents.
Comments