Kikosi kazi cha wanahabari walio kwenye msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakiwa katika picha ya pamoja karibu na ufukwe wa Ziwa Tanganyika, kwenye Hoteli ya Lake Tanganyika leo. Wa pili kulia ni mmiliki wa Blogu hii ya Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda.
Wanahabari Bashir Nkoromo (kushoto) wa gazeti la Uhuru, Ahmad Michuzi (katikati) wa Michuzi Blog na Joseph Mpangala wa Star TV, wakivinjari mitaa ya Mji wa Kigoma.
Bashiri Nkoromo ambaye ni mzaliwa Kigoma, akiwa stendi ya daladala karibu na Stesheni ya Reli ya Kati mjini Kigoma.
Ufukwe wa Ziwa Tanganyika Kigoma
Wanahabari Bashir Nkoromo (kushoto) wa gazeti la Uhuru, Ahmad Michuzi (katikati) wa Michuzi Blog na Joseph Mpangala wa Star TV, wakivinjari mitaa ya Mji wa Kigoma.
Bashiri Nkoromo ambaye ni mzaliwa Kigoma, akiwa stendi ya daladala karibu na Stesheni ya Reli ya Kati mjini Kigoma.
Ufukwe wa Ziwa Tanganyika Kigoma
Comments