WIMBO WA KOMBE LA DUNIA 2014 : PITBULL FT. JLO & CLAUDIA – WE ARE ONE [OLE OLA].


P1
Hatimaye wimbo rasmi kwa ajili ya michuano ya kombe la Dunia 2014 itayofanyika nchini brazil umetoka na kuanza kuchezwa kwenye vituo mbalimbali vya redio Duniani. jina la wimbo ni ‘We are one[ole Ola] umeimbwa na wasanii wa kimataifa akiwemo Jennifer lopez, pitbull na mwanamuziki wa Brazil Claudia Leitte.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*