- Get link
- Other Apps
Wiki
iliyopita kupitia mitandao ya kijamii zilitoka stori ambazo zilizanzia
kwenye 255 ya Clouds Fm ambapo aliulizwa Ally Kiba juu ya uhusiano na
msanii mwenzake Diamond Platnumz.Usiku wa kuamkia July 21 Diamond
Platnumz ameandika ujumbe ambao mashabiki wengi wa muziki wa Bongo Fleva
wameutafsiri kama majibu juu ya kile alichokisema Ally Kiba wiki
iliyopita.Katika ujumbe huo ambao Diamond kapost kwenye akaunti zake za
mitandao ya kijamii kaandika
’Tatizo
lako wewe unawaza kushindana na mimi ili nishuke,Wakati mwenzako nawaza
kushindana na watu wa mataifa mengine ili nilete sifa na heshima nchini
kwetu’.
Comments