BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT) WAMUAGA BALOZI WA NORWAY


 Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga akizungumza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini, Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach, Dar es Salaam,Julai 18,2014.
Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
 Bakari Machumu kutoka gazeti la Mwananchi, akiwakilisha Chama Cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri  wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
 Mshehereshaji wa shughuli hiyo ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Dk. Ayub Rioba.
Wasanii wa Dar Creators Group wakitumbuiza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
  Meneja wa Rasilimali Watu Baraza la Habari Tanzania Ziada Kilobo akimsaidia Balozi kufunga kilemba ikiwa sehemu ya zawadi ya vazi la asili la Kiafrika alilozawadiwa Balozi,kulia ni Meneja Uthibiti na Viwango  Pili Mtambalike wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
 Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania Ndugu Kajubi Mukajanga wakiangalia picha ya Balozi ambayo alipewa kama zawadi wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga  Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akizungumzwa wakati wa tafrija ya kumuaga iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
Balozi pia amesifia Baraza a Habari kwa kukuza weledi na maadili katika tansnia ya Habari.
 Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Profesa Ruth Meena wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
 Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Habari Rose Haji wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga  Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
 Dk. Ayub Rioba (kulia) akizungumza na Mhariri wa Baraza la Habari Tanzania Hamisi Mzee wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga  Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi wa Baraza la Habari,Wahariri na wadau wengine wa Habari kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach. (Picha kwa Hisani ya kamerayangublog.com)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.