EVANS AVEVA ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC LEO

Rais mpya wa Simba SC, Evans Aveva (wa pili kulia) akiwa na Makamu wake, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kushoto na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji, Said Tuliy kulia, Salim Abdallah na Iddi Kajuna leo makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa Msimbazi wakati wakikagua jengo hilo.
Aveva akiwa na timu na yake wakikagua jengo
Jengo linahitaji ukarabati
Hapa anakabidhiwa fomu za mikataba ya wachezaji na Katibu Mkuu wa klabu, Ezekiel Kamwaga kulia

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA