HATIMAYE KITUO KIPYA CHA MABASI NANE NANE MBEYA CHAZINDULIWA KIKIWA NA MAPUNGUFU MENGI.

Hili eneo ambalo kuna Manyasi ni eneo ambalo limetengwa maalum kwa ajili ya kuweka sehemu ya abiria kungojea usafiri au walio na wageni kungojea watu wao lakini hakuna kilicho jengwa , hali inayosababisha usumbufu mkubwa.
Baadhi ya Abiria na watu wanaongoja ndugu zao wakiwa wamekaa katika  manyasi huku wakiwa hawana eneo maalum la wao kukaa, jambo ambalo linasababisha wapigwe na jua pia Mvua ikinyesha hakuna pa kujihifadhi.
 Madereva na makonda wakiwa katika eneo hilo jipya la kituo cha basi
Abiria wakiwa wamekaa tuu bila mpangilio
Biashara zinaendelea 
Swali linakuja hapa kwa Halmashauri ya Jiji, Je wakati kituo hiki cha basi kinazinduliwa hamkuona kuwa kunatakiwa kuwe na sehemu ya mapumziko? Wananchi wanaomba muwawekee eneo la mapumziko kulipo kuendelea kukaa katika majani ambayo hata hivyo yatakuwa mavumbi siku chache zijazo

Picha na Mbeya yetu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.