ISRAEL NA PALESTINA `BIFU` HADI KWENYE SOKA...WAANDAMANAJI WAVAMIA UWANJA NA KUZIPIGA NGUMI

Attack: Protestors storm the pitch and appear to attack the Maccabi Haifa players
Mashambulizi: Waandamanaji walivamia uwanja na kuanzisha dhoruba ya kuwashambulia wachezaji wa  Maccabi Haifa
Ugly scenes: Protestors attack the Maccabi Haifa players forcing the game to be called off early
Hatari sana: Waandamanaji waliwavamiwa wachezaji wa Maccabi Haifa na kusababisha mechi kuahirishwa.
Brawl: Protestors and Maccabi Haifa players clash after the game is stopped
Waandamanaji wakizipiga ngumi na wachezaji wa Maccabi Haifa 
Hitting back: Several Maccabi Haifa players were spotted fighting back after being attacked
Jamaa akaamua kumrudishia: Wachezaji wengi wa Maccabi Haifa walianza kuzipiga baada ya kuvamiwa
Tension: Pro-Palestinian supporters attacked the Maccabi Haifa players
Kula buti kwanza kijana!: Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina waliwavamiwa wachezaji wa  Maccabi Haifa

MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.
Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.
Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito.
Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa.
Tukio hili limekuja wakati huu ambao majeshi ya Israel yamevamia na kufanya uhalifu dhidi ya majeshi ya Hamas huko Gaza.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*