JENGO LA MAABARA YA KISASA LA NIMR LAFUNGULIWA TABORA

      

Mkurugenzi wa NIMR Tabora Dr.Joseph Swila
akionesha baadhi ya vifaa vya kisasa katika chumba cha maabara hiyo
ambayo inatajwa kuwa huenda ikasaidia mikoa yote ya kanda ya magharibi.
Baadhi ya watumishi wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu NIMR pamoja na viongozi wa ngazi za juu  wa NIMR katika picha ya pamoja wakati ufunguzi wa Jengo la maabara ya utafiti wa kituo cha utafiti wa magonjwa ya binadamu mjini Tabora.
Jengo la maabara ya utafiti katika kituo cha utafiti wa magonjwa ya binadamu lililogharimu zaidi ya shilingi milioni.297.8
Mkurugenzi wa tume ya sayansi na teknolojia Dr.Hassan Mshinda akifungua jengo la Kituo cha utafiti wa magonjwa ya binadamu kwa niaba ya naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia Prof.Makame Mnyaa Mbarawa lililopo mjini Tabora. 
Dr.Hassan Mshinda akiangalia moja ya mashine ya kupimia magonjwa ya binadamu wakati akikagua jengo hilo na kuangalia vifaa tiba vilivyomo katika jengo hilo.

Mkurugenzi wa NIMR Tabora Dr.Joseph Swila akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo la maabara ya Tabora
Mkurugenzi mkuu wa NIMR Dr.Mwele Malecela wakati akisoma taarifa fupi tangu kuanzishwa kwa maradi wa Jengo hilo la maabara ya kisasa.
Mwenyekiti wa Bodi ya NIMR ,Prof.Samwel Masele Akizungumza wakati wa sherehe fupi ya ufunguzi wa jengo la maabara ya kisasa.
Mkurugenzi wa tume ya Sayansi na Teknolojia Dr.Hassan Mshinda akisoma hotuba kwa niaba ya naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia ambapo alipongeza kazi kubwa inayofanywa na NIMR katika kuhakikisha inakabiliana na magonjwa mbalimbali kwa kufanya utafiti wa magonjwa na kupata ufumbuzi wake.
Mwandishi wa habari mkongwe wa Redi Tanzania Bw.Benkiko ambaye alipata fursa ya kusalimiana na mgeni rasmi wakati wa sherehe za ufunguzi wa jengo hilo
Wadau mbalimbali wa afya walihudhuria katika sherehe za ufunguzi wa Jengo hilo.Picha zote na KAPIPIJhabari.COM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI