KWELI MBUNGE FILIKUNJOMBE NI MBUNGE WA WATU

Mbunge wa  Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe  akiwa amejitwisha  kichwani ndoo ya maji juzi baada ya Kiongozi wa Mbio  za Mwenge  Kitaifa,  Rechel Kassanda kuzindua mradi  huo wa maji katika Kijiji cha Kipangala Ludewa mradi ambao  ulitokana  na ahadi  za mbunge huyo kwa  wananchi wa kijiji  hicho. (PICHA NA FRANCIS GODWIN)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA