LICHA YA ARGENTINA KUSHINDA 1-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI, MESSI AKIRI USWISI `KISIKI CHA MPINGO`

Let me take a selfie: Messi celebrates with Angel Di Maria and Ezequiel Lavezzi in the dressing room
Uswizi mmh! Messi, Angel Di Maria na Ezequiel Lavezzi  wakishangilia ushindi kwenye chumba cha kubadilishia nguo.
 
LIONEL Messi amekiri kuwa Argentina walibanwa sana kabla ya  Angel Di Maria kufunga bao pekee dhidi ya Uswisi  katika dakika za nyongeza lililowapa tiketi ya kwenda robo fainali ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
"Wote tulihangaika, tulihangaika na kuhangaika,' alisema Messi. "Tulianza kuwaza kama haitatokea. Lakini mwisho bahati ilituangukia na tunatakiwa kutumia faida hiyo kusonga mbele". 
"Kama ilivyokuwa kwa wote, niliumia sana kwasababu sikufunga. Tulijua kama tungefanya kosa moja tungerudi nyumbani. Hatukutaka kusubiria penati. Tulitaka kumaliza dakika za kawaida".

Big fans: Messi's girlfriend, Antonella Roccuzzo, and their son Thiago watched Argentina's win
Mashabiki bab kubwa!: Mpenzi wa Messi, Antonella Roccuzzo na mtoto wao wa kiume Thiago wakitazama ushindi wa Argentina.
Give this to your dad: Little Messi gets a kiss from his mum in the stands as his dad sets up the winning goal
Mpe busu hili baba yako: Messi mdogo akipata busu kutoka kwa mama yake baada ya baba yake kutengeneza bao la ushind.


World class: Messi left the Swiss defenders trailing in his wake before laying the pass on for Di Maria

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA