MAKAMU MKUU WA MUHAS AONGOZA KUAAGA MWILI WA PROFESA MBWAMBO

      

1 (3)Makamu Mkuu wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS) Profesa  Ephata  Kaaya akiuaga mwili wa  Mhadhiri wa wa chuo hicho , marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
1bKatibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi.  Joyce Mapunjo  akifarijiwa na baadhi  ya waambolezaji  leo, wakati wa kuuaga mwili wa marehemu  mumewe  Profesa  Zakaria Mbwambo, ambaye alikuwa ni Mhadhiri  wa  Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS) kwenye viwanja vya chuo hicho  jijini Dar es Salaam.
2 (3)4 (2)Baadhi ya maprofesa wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS), wakitoa  heshima za mwisho kwa mwili wa Profesa  mwenzao ,  marehemu,  Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi .  Joyce Mapunjo  leo kwenye viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
6Baadhi ya waombezaji  waiombeleza
8 Baadhi ya maprofesa wa Chuo  Kikuu  cha Afya  na  Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS), wakiwa katika  hali ya huzuni wakati  wa kuuaga mwili wa Profesa  mwenzao ,  marehemu, Profesa  Zakaria Mbwambo , ambaye ni mume wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, Bi . Joyce Mapunjo  leo kwenye  viwanja vya chuo hicho jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Magreth Kinabo – Maelezo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*