MAREKANI YAPIGWA 2-1 NA UBELGIJI, LAKINI KIPA WAO AANDIKA BONGE LA REKODI..

No way past: Tim Howard denies Everton team-mate Kevin Mirallas with his left foot late in the second half
On fire: Howard's heat map serves to highlight his involvement

Busy boy: Howard was kept very busy in comparison to Belgium keeper Thibaut Courtois
Kijana wa kazi: Howard aliokoa michomo mingi zaidi ukilinganisha na kipa mwenzake wa Ubelgiji, Thibaut Courtois

Red alert: Howard gets down well and stretches to deny Belgium as Vincent Kompany watches on
 Howard akijitanua na kuokoa mpira uliopigwa na nahodha wa Ubelgiji  Vincent Kompany

Kwa kuokoa michomo 15, kipa huyo wa Everton ameandika rekodi mpya ya kombe la dunia tangu takwimu kama hizo zipatikane mwaka 1966 ambapo kipa wa Peru, Ramon Quiroga aliokoa michomo 13 mwaka 1978 dhidi ya Uholanzi.
Kiwango cha jana cha Howard ndio bora zaidi kuwahi kutokea katika timu ya Marekani tangu Sylvester Stallone afanye hivyo mwaka 1981.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.