MBUNGE MACHACHARI WA LUDEWA -CCM DEO FILIKUNJOMBE AWAHAKIKISHIA UMEME KABLA YA KRISMASI WANANCHI WA LUPINGU

  Mbunge  wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akimsikiliza kwa makini mwakilishi wa meneja wa TANESCO mkoa wa Iringa ambae  pia ni mhadisi wa mipango mkoa wa Iringa Bw Christopher Nguma wakati akieleza kuanza kwa mradi  huo jumatatu
 Mbunge  wa jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  akisisitiza jambo  wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Lupingu juu ya kuanza kwa mradi wa umeme kata ya Lupingu ,huku  viongozi hao wakiwa  wamenyosha vidole  juu kuukubali mradi  huo.
  Viongozi wa serikali ya  kijiji cha Nindi  kata ya Lupingu wakifurahia ujio wa umeme katani kwao Lupingu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA