MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE AONGOZA ZOEZI LA KUCHIMBA MASHIMO YA NGUZO ZA UMEME KUELEKEA KIJIJI CHA NINDI, NTUMBATI NA LUPINGU
Mbunge
wa Ludewa, Mheshimiwa Deo Filikujombe (kushoto) akipata maelezo toka kwa
mtaalam wa Tanesco wakati wa zoezi la kuchimba mashimo ili kuweka guzo
za umeme kuelekea kijiji cha Nindi, Ntumbati na Lupingu mapema leo
. asubuhi Julai 7, 2014. Picha zote na Sheila Simba.
Mtaalamu
toka Tanesco akitoa maelezo kwa Mbunge wa Ludewa Deo Fillikujombe wakati
wa zoezi la kuongoza wananchi wa Ludewa kuchimba na kuweka guzo za
umeme kuelekea Vijiji vya Nindi, Ntumbati na Lupingu mapema leo asubuhi
Julai 7, 2014.
Wananchi wa kijiji cha Nindi, Ludewa wakikagua nguzo kabla ya zoezi lakuchimba mashimo.
Comments