MKUU WA MKOA MBEYA ABBAS KANDORO AZINDUA BARABARA YENYE UREFU WA KILOMETA 2 JIJINI MBEYA

Mkuu wa Mkoa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi  wa barabara  akiwa pamoja na Meya wa jiji la Mbeya Athanas Kapunga  wa kwanza kushoto pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr.  Norman Sigalla wa Pili kushoto na  Kaimu Mkurugenzi wa jiji la Mbeya Dr.  Samuel Lazaro wa kwanza kulia 

Wakishangilia kwa pamoja mara baada ya kukata utepe


Mkuu wa Mkoa akipeana Mkono wa pongezi na Mkurugenzi wa miradi wa Kampuni ya CICO Ndugu Meng Yuan kampuni ambayo imejenga barabara hiyo.


Hii ndiyo Barabara iliyozinduliwa
Baadhi ya viongozi toka MUST  wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi

 Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya wakiwa katika eneo la Uzinduzi wa barabara hiyo 

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro akizungumza katika ufunguzi wa barabara mpya kutoka eneo la Meta hadi Stendi kuu ya Mabasi jijini Mbeya yenye urefu wa kilomita 2

Dr Norman Sigalla Mkuu wa wilaya ya Mbeya akimkaribisha mgeni rasmi

Meya wa Jiji la Mbeya ,Athanas Kapunga akiongea na wananchi katika uzinduzi wa barabara hiyo


 Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Dkt.Samweli Lazaro amesema kuwa  ujenzi wa barabara hiyo umemalizika kwa mkataba wa grama ya sh. Bil.1,553,437,275.00 alipokuwa akisoma taarifa fupi kwa mgeni rasmi


Waheshimiwa Madiwani








Na Mbeya yetu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.