MV MAGOGONI NUSURA IWABWAGE BAHARINI ABIRIA WALIOKUWA WAKIHAMIA MV KIGAMBONI

Abiria waliokuwa wamepanda Mv Magogoni Dar es Salaam jana, wakishuka katika pantoni hilo lililopata hitilafu na kuamua bila ruhusa kuingia kwenye pantoni lingine la Mv Kigamboni. Lakini baada ya nusu ya abiria kuahamia Mv Kigamboni dereva wa Mv Magogoni aliamua kuondoa pantoni bila kutoa taarifa yoyote kama ilivyo kawaida. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.