NAIBU WAZIRI WA MAJI ATEMBELEA MIRADI YA MAJI MIKOA YA PWANI NA DAR ES SALAAM


IMG_0024
Ujumbe ulioongozana na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ukiwa ndani ya tenki la maji lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi.
IMG_0086
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiambatana na wakandarasi wa kampuni ya WABAG pamoja na Meneja Mradi DAWASA, Inj. Romanus Mwang’ingo (mwisho kulia) wakikagua mradi wa maji wa Ruvu
IMG_0096
Ramani ya mpango wa ujenzi wa mradi wa maji Ruvu Juu, Pwani.
IMG_0103
Meneja Mradi DAWASA, Inj. Romanus Mwang’ingo akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ramani ya mpango wa ujenzi wa matenki ya mradi wa maji Ruvu Juu mkoani Pwani unaoendelea kujengwa
IMG_0134
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa na Mbunge wa Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa wakiwa katika ‘kijiko’ katika eneo la ujenzi wa mradi wa maji Ruvu Juu, Pwani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI