Ujumbe ulioongozana na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ukiwa ndani ya tenki la maji lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiambatana na wakandarasi wa kampuni ya WABAG pamoja na Meneja Mradi DAWASA, Inj. Romanus Mwang’ingo (mwisho kulia) wakikagua mradi wa maji wa Ruvu
Ramani ya mpango wa ujenzi wa mradi wa maji Ruvu Juu, Pwani.
Meneja Mradi DAWASA, Inj. Romanus Mwang’ingo akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ramani ya mpango wa ujenzi wa matenki ya mradi wa maji Ruvu Juu mkoani Pwani unaoendelea kujengwa
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa na Mbunge wa Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa wakiwa katika ‘kijiko’ katika eneo la ujenzi wa mradi wa maji Ruvu Juu, Pwani.
Comments