NAYMAR AFANYA MATANUZI BAADA YA KUPONA MGONGO ULIOIPONZA BRAZIL KUBORONGA KOMBE LA DUNIA

MSHAMBULIAJI wa Brazil, Neymar amepona maumivu ya mgomgo aliyoyapata kwenye Kombe la Dunia na nyota huyo wa Barcelona amekwenda kula bata na mpenzi wake Bruna Marquezine nchini Hispania.
Wapendanao hap walikuwa wakifuarahia maisha katika fukwe za Ibiza huku Neymar - amefunga kitu cha kuuzuia mgongo wake.
Neymar alikosa mechi mbili za mwisho za nchi yake baada ya kuumia mgongo katika Robo Fainali dhidi ya Colombia.

Kinga: Mshambuliaji wa Brazil, Neymar akienda kuoegelea huku amevaa kitu cha kuzuia mgomgo wake alioumia
Chilled: Neymar relaxes with his girlfriend Bruna Marquezine in Ibiza
Neymar akipoga gumzo na mpenzi wake Bruna Marquezine huko Ibiza
Bit of support: Neymar shows off the back support he is wearing whilst he recovers from injury
Neymar na mpenzi wake Ibiza
Popular: Neymar stopped by fans on the beach after pictures
Mashabiki wakiwa wamemzunguka Neymar ili kupoiga naye picha
Paddle: Bruna having a dip in the sea
Paddle: Bruna having a dip in the sea
Bruna kwa raha zake katika fukwe za Ibiza
Boating: Neymar and Co go for a sail
Neymar na washirika wake wakiwa kwenye boti
At sea: The couple head out to water
Wapenzi hao wakichezea maji
Disembarking: Neymar climbing out of the boat
Neymar akiruka kushuka kwenye boti

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU