NEYMAR AKISAFIRISHWA KWA CHOPA KWENDA KWAO BAADA YA KUTOKA HOSPITALI

home
Mchezaji aliyekuwa tegemezi kwenye mechi za kombe la dunia za timu ya Brazil Neymar Jr, hatimaye amepelekwa kwao Guaruya, Sao Paulo kwa ajili ya mapumziko. Neymar amepata matibabu baada ya kupata maumivu kwa kugongwa kifuti kwenye uti wa mgongo na mchezaji wa Colombia wakiwa uwanjani.

Neymar alipelekwa na helicopter kwenye uwanja wa mazoezi ambapo alikutana na wachezaji wenzake, baadae alikutana na waandishi pamoja na mashabiki na safari ikaelekea Sao Paulo. 1
2
3

4

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI