PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba
(kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa
mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda Kizungumza na baadhi ya watanzania washio Reading
Uingereza baada kufanya nao mkutano Julai 10, 2014. Kutoka kushoto ni
Maina Owino,Madona Pemba na Diana Mathew. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza na mchungaji
Kallaghe wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri , maalum kwa Ibada za
Kiswahili nchini Uingereza baada ya mkutano kati ya Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda na watanzania waishio Reading Julai 10 2014. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakiwa katika picha ya pamoja na
baadhi ya watanzania waishio Uingereza walioshiriki katika mkutano wake
uliofanyika Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania
waishio Reading nchini Uingereza kabla ya kuzungumza nao Julai 10,
2014. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania waishio Reading,
Hussein Chang’a. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya
watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio
Reading Uingereza Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments