Rais Dk. Shein ziarani Kusini Pemba

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifuatana na Mshauri wa Rais Uwekezaji Bw. Abrahman Mwinyi Jumbe (kushoto) akitembelea shamba la ufugaji wa samaki la kikundi cha Hakiliki Mwambe, Kusini Pemba jana. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa kikundi cha Ufugaji wa Samaki cha Hakiliki Mwambe, Kusini Pemba jana. Wapili kulia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdilahi Jihadi Hassan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiteta na watoto wa Kijiji cha Mwambe  mara baada ya kuzungumza na wananchi wa kikundi cha Ufugaji wa Samaki cha Hakiliki jana, alipofanya ziara katika Mkoa wa Kusini Pemba.
Wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu wa vijiji mbali mbali vya Mkoa wa Kusini, Pemba wakijumuika pamoja katika futari iliyoandaliwa na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, kwa wananchi hao katika viwanja vya Ikulu, Chake Chake  Pemba jana.
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein (wa nne kulia), akijumuika na viongozi na wananchi mbali mbali wa Mkoa wa Kusini Pemba katika futari aliyowaandalia jana katika viwanja vya Ikulu, Chake Chake.
Baadhi ya akinamama wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijumuika kwa pamoja katika futari waliyoandaliwa na mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mwanamwema Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ikuu ya Chake chake jana.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chake chake Pemba Mwanajuma Majid katika futari aliyowaandalia wananchi wa Vijiji mbali mbali vya Mkoa wa Kusini Pemba hafla hiyo, ilifanyika jana katika ukumbi wa Ikulu ya Chake Chake. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.