Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza balozi mdogo wa Japan Kazuyoshi
Matsunaga muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya
Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa
ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la
maendeleo JICA.Kushoto ni mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa, wapili
kushoto ni Waziri wa ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Mke wa Rais Mama
Salma Kikwete na kulia ni Wairi wa Ardhi nyumba na mendeleo ya makazi
Profesa Anna Tibaijuka(picha na Freddy Maro).
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na balozi mdogo wa Japan Kazuyoshi Matsunaga
wakikata utepe kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga
mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya
Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Kushoto ni
mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa, wapili kushoto ni Waziri wa ujenzi
Dkt.John Pombe Magufuli, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na kulia ni
Wairi wa Ardhi nyumba na mendeleo ya makazi Profesa Anna
Tibaijuka(picha na Freddy Maro).
Comments