Rais Kikwete akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Atomiki, Amjulia Hali Jaji Lewis Makame
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt.Yukiya Amano ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt. Yukiya Amano ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt.Yukiya Amano akiuangalia mti kubwa wa Mbuyu katika bustani za ikulu jijini Dar es Salaam huku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiomuonesha tunda la ubuyu.
Comments