SARAFU YA SH 500 KUZIBA PENGO LA NOTI YA SH 500 ILIYOSHINDWA KUHIMILI KWA WANANCHI.


Mfano wa Sarafu ya 500 kama iliyoonekana katika Banda la Benki Kuu katika maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.


Noti ya shilingi mia tano.


Baada ya noti ya shilingi mia tano kubainika kuwa kwenye mzunguko mkubwa sana na hivyo kuchakaa mapema, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeamua kuleta sarafu ya shilingi mia tano mwaka huu wa fedha inayotegemewa kudumu kwa miaka zaidi ya ishirini.


Sarafu ya shilingi mia tano inatarajiwa kuzinduliwa na Benki Kuu ya Tanzania katika siku za usoni. Sarafu hiyo itatumika sambamba na noti za shilingi mia tano huku zikiwa zinaondolewa kwenye mzunguko taratibu taratibu. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa Benki Kuu ya Tanzania, Emanuel Boaz.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*