SIRI IMEFICHUKA: MTIFUANO WA DIAMOND NA ALIKIBA KUMBE CHANZO NDIO HIKI...SOMA ZAIDI HAPA...!

Leo ilikuwa ni siku ya Ya mkali wa zamni wa Bongo fleva, Ali kuba akiachia ngoma zake mbili katika kipindi cha XXL cha CLOUDs FM, Kama umefuatilia katika wiki hii kumekuwa na vuguvugu kali linaloendelea kati ya Mahasimu hawa wawili, sasa wengi wakiwa hawajui nini chanzo cha Bifu kubwa linaloendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba.  
 
Katika ali ya kutaka kujua ukweli mtangazaji wa kipindi hicho alimtandika swali la kizushi Ali Kiba kuhusu Bifu hilo linaloendelea mapka sasa huku akitaka kujua chanzo kikubwa cha yeye na Diamond na yeye kuhitiliafiana. Ali aligoma kabisa kuelezea chanzo cha ugomvi ama bifu lililo kati yao.
 
 Bila ajizi Dj FETTY aliamua kuweka wazi chanzo cha vuguvugu hilo. kuwa katika wimbo wa LALA SALAMA wa Diamond kulikuwa kuna mistari ama verse ambazo alitakiwa kuimba Ali Kiba, lakini kwa mshangao Diamond alifuata mistari ambayo Ali Kiba ilibidi aimbe, na kwa upande wa pili Alikiba katika wimbo wake wa Single boy pia kulikuwa kuna verse ambazo Diamond ilibidi aimbe lakini Alikiba akaamua Kumtolea nje na kumshirikissha Lady Jay dee.

Kwa hiyo Hiyo no sababu kuu kati yanyingi zinazopelekea Bifu kubwa kati ya wasanii hawa wawili wa Bongo Fleva. ni mengi yamezungunzwa ndani ya kipindi hicho cha XXL,

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI