WAJERUMANI WALIKABA MPAKA KIVULI CHA LIONEL MESSI, KWA `STAILI` HII KUISOMA NAMBA ILIKUWA LAZIMA TU`!

 
 

 


Star attraction: The World Cup final at the Maracana was the biggest match of Lionel Messi's stellar career
Nyota wa mvuto: Mechi ya fainali ya kombe la dunia katika dimba la Maracana ilikuwa mechi kubwa zaidi katika maisha ya soka ya Lionel Messi.

Imechapishwa Julai 14, 2014, saa 7:58 usiku

MCHEZAJI bora wa dunia mara nne mfululizo, Lionel Messi aliibeba Argentina mabegani mwake katika mchezo wa fainali dhidi ya Ujerumani usiku wa leo na kushuhudia nchi yake ikipigwa bao 1-0 na kukosa ubingwa.
Mamilioni ya Waargentina walifurika Rio de Janeiro wakiwa na matumaini makubwa ya kumuona shujaa wao Messi akikata kiu yao ya kutaka ubingwa, lakini mambo yamekwenda ndivyo sivyo. 
Mabeki wa Ujerumani walicheza ngado kwa ngado na Messi na hawakutaka kumuachia hata upenyo.
Marked man: Messi is closed down by three German players and robbed of possession by Bastian Schweinsteiger
Mtu wa kukabwa: Messi alikuwa chini ya ulinzi wa wachezaji watatu wa Ujerumani na mpira ulichukuliwa na kiungo fundi  Bastian Schweinsteiger.
Iconic: The picture of Messi surrounded by Germany defenders was reminiscent of the famous one of Diego Maradona taking on Belgium at the 1982 World Cup. The picture is actually of a fractured defensive wall following a free-kick rather than any concerted pressure on Maradona
Mtu pekee: Picha iliyomuonesha Messi akiwa amezingirwa na wachezaji watatu wa Ujerumani, ilikumbusha enzi za gwiji wa pekee nchini Argentina, Diego Maradona ambaye alikuwa chini ya msitu wa wachezaji wa Ubelgiji katika fainali za mwaka 1982.
Carnage: Messi scrambles for the ball after bursting through the German back line
Messi akichuana kupata mpira baada ya kufanikiwa kuipenya ngome ya ulinzi ya Ujerumani.
Guarded: Messi is surrounded by four German players as he tries to instigate an Argentina attack
Analindwa: Messi akiwa amezingirwa na wachezaji wanne wa Ujerumani , huku akijaribu kutengeneza shambulizi la Argentina.
Not to be: Messi was destined to end up on the losing side as Argentina were beaten 1-0 by Germany after extra time
Haijatimia: Ameshindwa kuandika historia baada ya kushuhudia nchi yake ya Argentina ikipigwa kidude kimoja na Ujerumani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*