WANAFUNZI CHUO CHA CILOS WATEMBELEA MBUGA YA SAADAN


 Mwalimu wa wanafunzi wa Chuo cha Cilos Cha Lugha za Kimataifa,  Wamala Wamala,(wa kwanza kulia) akiwaelekeza jambo wanafunzi wa chuo hicho waliofanya ziara ya mafunzo ya Utalii katika Hifadhi ya Mbuga ya Wanyama ya Saadani Mkoa wa Tanga mwishoni mwa wiki. (NA MPIGAPICHA MAALUM)
 Mwenyekiti wa msafara wa wanafunzi wa Chuo cha Cilos wa Lugha za Kimataifa Lucas Chacha,(wakwanza kulia) akiwaelekeza jambo wanafunzi wa chuo hicho mara walipofika katika kujifunza mambo Mbalimbali ya Utalii katika Hifadhi ya mbuga za wanyama Saadani Mkoa wa Tanga mwishoni mwa wiki.
Wanafunzi wa chuo cha Cilos,wakiangalia Makaburi ya Wajerumani walioigia 1852 katika  Hifadhi ya Saadani Mkoa wa Pwani mwishoni mwa wiki

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.