WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA


Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Sehemu ya mapaparazi waliofika kwenye tukio hilo.
Rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa nchini (T.P.B.O) Yasin Abdallah (katikati) ambao ndiyo wasimamizi wa pambano la Maugo na Mashali katika tamasha hilo, akizungumzia pambano hilo.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (mwenye miwani) na Mkurugenzi Chuo cha Uandishi wa Habari, Biashara na Utawala cha Mlimani kilichopo Mbezi Kwa-Msuguri jijini Dar, Hassan Ngoma (kushoto kwa Mrisho), wakifuatilia kinachoendelea.
Khalid Chokoraa wa Bendi ya Mapacha Watatu akifuatilia kinachoendelea.
Mwakilishi na Rais wa Bongo Muvi Unity, Steve ‘Nyerere’, akielezea jinsi watakavyowagaragaza wasanii wa Bongo Fleva kwenye pambano la soka.
Mwakilishi wa timu ya Bongo Fleva, Inspector Haruni, akijibu mapigo kwa kueleza jinsi watakavyowararua Bongo Muvi Unity. Kushoto ni mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto, na Eric Shigongo.
Bondia Mada Maugo akijitapa kumchapa mpinzani wake, Thomas Mashali ‘Simba Asiyefugika’.
Mashali akimjibu Maugo na kujitapa kuendeleza kichapo.
Mbunge Hamisi Kigwangala anayeiwakilisha timu ya wabunge wa Simba akieleza jinsi walivyojiandaa kuwaadabisha wabunge wa Yanga.
Msanii wa filamu, Jacob Steven ‘JB’, ambaye atachapana na msanii mwenzake, Issa Mussa ‘Clouds 112′, akichimba mkwara jinsi atakavyomkalisha msanii huyo.
Shigongo ‘akiwakutanisha’ mabondia wenye upinzani mkali, Mashali (kushoto) na Maugo (kulia).
Clouds 112 (kushoto) akimchimbia mkwara JB ambaye aliishia kumuangalia kidharau na kusema anasubiri siku ya Agosti 8 katika Uwanja wa Taifa.
Sehemu ya wanahabari wakipata maelezo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI