Mtoto Kulwa Mwaikenda mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi miwili, akiwasiliana kwa simu ya mkononi na Bibi yake alioko Mbeya leo hii, hata hivyo yeye na bibi yake walishindwa kuelewana kwani ilikuwa lugha gongana. Mtoto huyo ambaye ni pacha na Dotto Mwaikenda wakiona mamao na babao wakipokea simu wana tabia ya kulilia na kutaka kuzungumza na bila kuwapatia basi hapo home hapakiliki.
Kulwa (kulia) akiendelea kusikiliza simu huku mwenzie akisubiri zamu yake. Watoto hawa pacha ni wa mmiliki wa blog hii ya Kamanda wa Matukio. Wanaishi Kivule, Dar es Salaam.
Jamani Kulwa kwa vituko hajambo
Kulwa (kulia) akiendelea kusikiliza simu huku mwenzie akisubiri zamu yake. Watoto hawa pacha ni wa mmiliki wa blog hii ya Kamanda wa Matukio. Wanaishi Kivule, Dar es Salaam.
Jamani Kulwa kwa vituko hajambo
Comments